Wafungwa 90 kutoka magereza makuu, Kenya wamepewa vyeti baada ya kukamilisha mafunzo ya kurekebisha tabia kwa wahalifu wa ngono. Ni hatua iliyochukuliwa kukabiliana na ongezeko la makosa yanayohusiana ...
Lisemwalo lipo na kama halipo basi limo njiani laja ijapo kwa mwendo wa jongoo. Maisha ya kesho inamtegemea mtoto wa leo ambaye anayo miaka mitano hadi kumi (5-10) ambaye maadili yake itategemea jinsi ...
Esther alikuwa amelala mitaani jijini Lagos wakati mwanamke mmoja alipomkaribia na ahadi ya njia ya kutoka Nigeria kwenda kazini na nyumbani barani Ulaya. Alikuwa ameota maisha mapya, hasa Uingereza.